download mp3

Saturday, 21 June 2014

Huyu Ndiye Kidume Anayemfaidi Agnes Masogange



Mwanamke wa Kitanga ndani ya Daladala Balaa Tupu

Hawa wanawake wa kitanga wamezid jamani heeeeee.....
Alikuwa kapanda na bwanake kwenye daladala wamekaa siti moja, mwanamke kamchukua bwanake akamuegesha kwenye kifua chake akawa anamuimbia nyimbo za kimahaba, halafu sio kwa sauti ya chini chini ilikuwa sauti kubwa tu mpaka kila mtu akawa anashangaa.
Alipokuwa anashuka akasema "mi ndio mtoto wa kitanga, nimefundwa nikafundika wenye kununa wapasuke twende tukalale laazizi wangu" hahahahahaha

AUNT EZEKIEL: Bado Sijaona Mwanaume wa Kunizalisha


Wakati  rafiki  yake  kipenzi, Wema  Sepetu  akidaiwa  kunasa  mimba  ya  Diamond , Aunt  Ezekiel  yeye  amesema  bado  hajaona  mwanaume  anayeweza  kumtia  mimba  na  hatimaye  kuitwa  baba  wa  watoto  wake.
Akipiga  stori  na  mwanahabari  wetu , Aunt  Ezekiel  amedai  kuwa  kuna  wakati  unaweza  kumuona  yupo  kwenye  ndoa  au  uchumba  lakini  haimaanishi  kuwa  kuwepo  katika  mazingira  hayo  ndo  anaweza  kuzaa  au  kushika  mimba  kwani  suala  hilo  kwake  ni  kubwa  sana  na  hajafikiria  kama  linaweza  kutokea  kwa  sasa…
“Siyo  kwamba  sina  uwezo  wa  kubeba  mimba, hapana, suala  kubwa  hapa  ni  kwamba  bado  sijaona  mwanaume  wa  kunizalisha.
“Ni  kweli  nilikuwa  kwenye  ndoa  lakini  sikutaka  kubeba  mimba  na  ndo  maana  hadi  sasa  hivi  nipo  kama  ninavyoonekana,” alisema  Aunt  Ezekiel.

Chris Brown amsifia Karuche " She is Real one"

Baada ya Mambo Kuwa Mazito GWAJIMA Ajitosa Kumwokoa Mume wa FLORA MBASHA

Shuhudia Arusi ya Lulu na Joti...Jua Ukweli wa Mambo Hapa