Jackline Cliff ni Mtanzania ambaye
Friday, 19 February 2016
Thursday, 21 January 2016
NAFASI ZA KAZI NJOMBE WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY JOB VACANCIES
NJOMBE URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
JOB VACANCIES
GARI Aina ya BMW Anayomiliki Masanja Mkandamizaji Yawa Gumzo...Mwenyewe Awataka TRA Wakaikague Kama Hajalipia Ushuru
Mchekeshaji wa Orijino Komedi na mjasiriamali, Masanja
Mkandamizaji amesema kila anachomiliki amekinunua kwa pesa yake halali
huku akishangaa kwanini watu wameshtuka baada ya kuona anamiliki BMW
yenye plate namba ya jina lake.
Akizungumza katika kipindi cha 360 cha Clouds TV Ijumaa
hii, Masanja alisema anamiliki magari mengi huku akidai BMW X6 ameinunua
kama mtu mwingine anavyonunua baiskeli. "Mimi nina magari mengi sana na
yote nayachukulia kama chombo cha usafiri cha kunitoa point moja kwenda
nyingine,” alisema. “Sasa nashangaa watu wanaongea sana kuhusu mimi
kwani gari kitu gani! Hiyo BMW X6 nimenunua kama watu wengine
wanavyonunua baiskeli," alijinadi.
Aliongeza, "Na hata hao TRA kama wananisikia waje hapa
Clouds nimekuja nayo ipo hapo chini ili waangalie kama sijailipia."
Masanja alisema anafanya biashara za aina mbalimbali hivyo kununua gari
la thamani siku kitu cha ajabu kwakuwa anaweza kununua kupitia biashara
yake moja tu.
Idriss Sultan Amtusi Diamond, Ajitapa Mtaani Kuwa yeye ni Kidume Aliyeweza Kumpa Mimba Wema
Hii dharau! Siku chache baada ya staa wa Bongo, Wema Sepetu
‘Madam’ kudaiwa kushika ujauzito ambao mhusika bado ni fumbo
Shule Binafasi Zajitokeza na Kumpongeza Waziri wa Elimu Kwa Kufuta Mfumo wa GPA na Kurudisha wa Division
Shule Binafasi Zajitokeza na Kumpongeza Waziri wa Elimu Kwa Kufuta Mfumo wa GPA na Kurudisha wa Division
Subscribe to:
Posts (Atom)