download mp3

Sunday, 6 July 2014

HAWA NDIO WACHEZAJI 10 AMBAO NI MATAJIRI HAPA DUNIANI

10. Gianluigi Buffon timu yake ya taifa ni  Italy anautajiri wa dola za kimarekani  $50 million  





9. Fernando Torres anaichezea Spain anautajiri wa dola za kimarekani $50 million

 


8. Steven Gerrard ni kiungo wa  England ana utajiri wenye thamani ya dola za kimarekani $55 million  






  7. Frank Lampard anaichezea timu ya England anautajiri wenye thamani ya dola za kimarekani  $60 million 





6. Yaya Toure timu yake ya taifa ni Ivory Coast ana utajiri wa dola za kimarekani $70 million 


 


5. Samuel Eto’o timu yake ya taifa ni Cameroon ana utajiri wa dola za kimarekani  $75 million  






4. Didier Drogba anaichezea Ivory Coast ana utajiri wa dola za kimarekani  $90 million 

 




3. Wayne Rooney anaichezea  England akiwa na utajiri wa dola za kimarekani  $95 million  





2. Lionel Messi timu yake ya taifa ni  Argentina anautajiri wenye thamani ya dola za kimarekani $180 million  






1. Cristiano Ronaldo timu yake ya taifa ni  Portugal — anautajiri wa dola za kimarekani  $230 Million  


No comments:

Post a Comment