
9. Fernando Torres anaichezea Spain anautajiri wa dola za kimarekani $50 million

8. Steven Gerrard ni kiungo wa England ana utajiri wenye thamani ya dola za kimarekani $55 million

7. Frank Lampard anaichezea timu ya England anautajiri wenye thamani ya dola za kimarekani $60 million

6. Yaya Toure timu yake ya taifa ni Ivory Coast ana utajiri wa dola za kimarekani $70 million

5. Samuel Eto’o timu yake ya taifa ni Cameroon ana utajiri wa dola za kimarekani $75 million

4. Didier Drogba anaichezea Ivory Coast ana utajiri wa dola za kimarekani $90 million

3. Wayne Rooney anaichezea England akiwa na utajiri wa dola za kimarekani $95 million

2. Lionel Messi timu yake ya taifa ni Argentina anautajiri wenye thamani ya dola za kimarekani $180 million

1. Cristiano Ronaldo timu yake ya taifa ni Portugal — anautajiri wa dola za kimarekani $230 Million
No comments:
Post a Comment